Afisa wa PSPF awataka wafanyakazi wa MOI wajiunge na mfuko wa PSPF
Abdul Njaidi amesema hayo kwenye mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa MOI lililofanyika wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam. Bwana Njaidi ameainisha mikopo inayotolewa na PSPF kuwa ni mikopo ya Nyumba, Viwanja, Elimu na Fao la uzazi kwa akina mama.
Sunday, 30 April 2017
Tuesday, 25 April 2017
VIONGOZI WA BARAZA LA BIASHARA WATOA TAARIFA YA KUZINDULIWA KWA BARAZA HILO TAREHE 05/05/2017 NA RAISI MAGUFULI
Katibu wa baraza la biashara la taifa Raymond Mbilinyi akiambatana na katibu mtendaji wa baraza la biashara sekta binafsi James Simbei wakiongea na waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa baraza la wafanya biashara lililoundwa tarehe 03/12/2015 na Rais John Pombe Magufuli,( Picha na Mwandishi wetu )
RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AWASIRI DODOMA
rais JOHN POMBE MAGUFULI amewasiri mkoani dodoma kwaajiri ya sherehe ya miaka 53 ya muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar . kilele chake kitakuwa tarehe26 mwezi 4 /2017
MUFTI MKUU AWATAKA WATANZANIA WAWE MABALOZI WAKUKEMEA DAWA ZA KULEVYA
TAASISI ZA KIDINI ZATAKIWA KUPINGA DDAWA ZA KULEVYA
UVCCM WAKANUSHA UVUMI KUHUSU FIGISUFIGISU ZA UTEUZI WA JOKATE
Subscribe to:
Posts (Atom)




