Friday, 16 June 2017

MWAKILISHI WA AIRTEL AMESEMA WAMEAMUA KULETA MAFUNZO KWA NJIA YA MTANDAO KWAAJILI YA KUSAIDIA VIJANA

Mwakilishi kutoka airtel BITIRCE SINGANO amesema lengo la mafunzo haya kwanjia ya mtandao nikuweza kuwasaidia vijana kuonesha ujuzi wao

habari picha na  ALLY THABITI

AFSA MASOKO WA DTB BENKI AMEZITAKA BENKI ZINGINE ZISAIDIE BENKI YA DAMU SALAMA

Afsa masoko waDTB  BAGUMA HAMBALI amesema haya kwenye siku ya damu salama pia ameongezea kwa kusema wao waguswa na jambo ili ndio maana wamejitolea


habari picha na VICTORIA STANSLAUS

MKUU WA WILAYA YA ILALA AMEWATAKA WATANZANIA WAJITOKEZE KUCHANGIA DAMU

Mkuu wa wilaya Mama SOFIA MGEMA ameyasema hayo siku ya damu salama zoezi ili limefanyika wilaya ya Ilala ambako amesema uchangiaji wa damu iyo utasaidia kunusulu maisha ya watanzania



habari picha na ALLY THABITI

Sunday, 11 June 2017

AMOUR HAMADI AMOUR AZINDUA DARAJA KUNDUCHI

Daraja hili gharama yake milioni301  ambapo manispaa ya kinondoni imetoa milioni 275   na wanajeshi wametoa milioni26


habari picha na ALLY THABITI

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AZINDUA SHULE YA MSINGI ALLY HAPI


Kiongozi wa mbio za mwenge AMOUR HAMAD  AMOUR amezindua shule ya msingi ALLY HAPI wilaya ya Kinondoni amewataka wananchi wa eneo hilo wawapeleke watotowaoshuleni


habari picha na ALLY THABITI            

WAHARIRI WASITEKWE NA MANENO YA WANASIASA


MHARIRI WA MLIMANI REDIO NA TV AMEWAPONGEZA TAMWA

AMINI ANTON MGENI mhariri wa vyombo vya habari kutoka  chuo kikuu cha Dar es salaam amesema mafunzo haya yatawasaidia wao pamoja na waandishi wengine kuibadilisha jamii juu ya fikra potofu na kandamizi zinazo chochea ndoa za utotoni ,ukeketaji na ulawiti Pia amewaomba TAMWA wawajengee uwezo viongozi wa madawati ya kijinsia na madaktari kuwapa ushirikiano waandishi wa habari pindi wanapo hitaji kuripoti habari za kijinsia.

habari picha na ALLY THABITI