MAIKO MWITA kaimu katibu mkuu wa mpira wa kikapu Tanzania ametoa taarifa kwa umma tarehe 15mwezi wa6 mashindano ya mpira wa kikapu yataanza rasmi jijini Dar es salaam benki zipatazo saba zimesibitisha kuwa zitashiriki mashindano haya miongoni mwa benki izo ni NMB,TAB,DTB,CRDB,BIOTI na zinginezo viwanja vitakavyo tumika ni kiwanja cha KIDONGO CHEKUNDU na uwanja wa TAIDFA wa ndani lengo la mashindano haya kudumisha umoja , amani, upendo , utulivu na mshikamano pia bingwa atakae patikana ataenda kuwakilisha nchi kwenye michuano ya Kimataifa ameziasa benki shiriki watumie wachezaji ambao wanafanya kazi kwenye benki zao na si mamluki
habari picha na ALLY THABITI
Monday, 3 July 2017
VIJANA WAMETAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KUPITIA SEKTA YA KILIMO
MOSES LUKOO afsa mawasiliano wa kampuni ya JATU amesema vijana wa kitanzania wachangamkie fursa kwenye sekta ya kilimo pia amewataka wale wote watanzania wajiunge na JATU kwani kampuni hii ni ya kizarendo na inasaidia katika kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla na inasaidia kujenga Afya na kutokomeza umaskini mpaka sasa kampuni ya JATU ina mwaka mmoja na inajumla ya wanachama 1178 na kampuni hii inashuurika na arzeti na kuuza unga wa dona na sembe kwa ujazo mbalimbali amezungumzia changamoto wanazokutana nazo mtaji na dhana potofu za watanzania kwakuto iamini kampuni hii ya JATU Ametoa wito kwa serikali waisaidie kampuni ya JATU kwakupewa mtaji wa kutosha
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
Saturday, 1 July 2017
KATIBU MWENEZI WA SIASA WA CCM AMFREI POLEPOLE AFRAHISHWA NA CHAGUZI ZA JUMUIYA ZINAVYOENDESHWA
Katibu mkuu wa uwenezi na siasa wa chama cha CCM AMFREI POLEPOLE amesema anafurahishwa na jinsi ya chaguzi za jumuiya mbalimbali zinavyoendeshwa ndani ya chama cha mapinduzi CCM amesma kuwa chaguzi zimekuwa za uru na haki ametoa rai kwa wanachama wa CCM wazidi kukiimarish chama na kukipigania chama kwa masrai ya chama na Taifa kwa ujumla na wazidi kumuunga mkono MWENYEKITI wa chama cha CCM na ambaye ni rais wa Tanzania JONH POMBE MAGUFULI kwakulinda na kutetea raslimali za Taifa
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
KATIBU MKUU WA KAFU MAALIM SEFU AMBEZA PROF LIPUMBA
Katibu mkuu wa chama cha wananchi KAFU MAALIM SEFU amesema prof LIPUMBA wao awajawa kitu kimoja ivyo ni mtu wa kupuuzwa na maneno yake MAAKIM SEFU ameongezea kwa kusema kuwa akaunti ya benki ya NMB ya chama cha KAFU bado anayo yeye katibu mkuu amesema haya wakati anaongea na waandishi wa Habari kweye Hotel ya PIKOKU HOTEL eneo la Baridi posta jijini dar es salaam
habari picha na ALLY THABITI
habari picha na ALLY THABITI
WAZIRI JENSTA MUHAGAMA AWATAADHARISHA VIJANA
Waziri wa kazi,ajira,vijanana watu wenye ulemavu amewataka vijana nchini Tanzania waache mala moja kutumia madawa ya kulevya kwani wao ni nguvu kazi ya Taifa ivyo wanapo tumia madawa ayowanapoteza nguvu zao na Afya zao kudhoofika ivyo kulishababishia Taifa kulega kwa uchumi amesema haya kwenye maadhimisho ya kupiga vita madawa ya kulevya ambayo kitaifa yamefanyika viwanja vya nyerere jijini DODOMA
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASIMU MAJALIWA ATOA ONYO KALI KWA WAUZAJI NA WAINGIZAJI WA DAWA ZA KULEVYA NCHINI TANZANIA
Waziri mkuu wa Tanzania MAJALIWA KASIMU MAJALIWA amesema wale wote wanaouza na kuingiza Dawa za kulevya nchini wakikamatwa hatua kali zitachukuliwa dhidi yao kwani dawa izo za kulevya zinapoteza nguvu kazi ya nchi ususani vijana hivyo bila kuwachukulia hatua yeyote wauzaji na waingizaji wa dawa hizo watazolotesha uchumi wa nchi na kudhoofisha mipango ya rais MAGUFULI kuelekea Tanzania ya uchumi wa viwanda ametoa wito kwa vijana wenye umri wa miaka15 mpaka 35 wajiepushe na matumizi ya dawa za kulevya Pia ameitaka jamii iwafichue wauzaji na wasambazaji wa madawa ya kulevya pia jamii iwapeleke vijana wao walioathirika na madawa ya kulevya kwenye vituo na Ospitali kwaajili ya tiba amesema haya siku ya maadhimisho yakupiga vita madawa ya kulevyaambako tarehe29/mwezi wa sita 6 ambako uazimishwa kila mwaka kwa Tanzania imeazimishwa kwenye viwanja vya nyerere jijini DODOMA
habari picha na ALLY THABITI
habari picha na ALLY THABITI
Subscribe to:
Posts (Atom)

