Rashidi Abubakari Saluumu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo wa Mkoa .Mkoani Kusini Pemba amesema Chama cha CUF washakiuwa na kukizika Pemba ameahidi kwenye Mkoa wake kuna majimbo manner 4 . CUF awapata ata Jimbo moja kwenye ngazi zote amesema haya kwenye Mkutano wa Wajumbe wa Halmashauri Kuu wa Chama cha ACT Wazalendo kwenye hotel ya Lamada iyopo Ilala jijini DSM
Habari picha na Victoria Stanslaus
Monday, 3 August 2020
PICHANI KIONGOZI MKUU WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO AWASILI KWAAJILI YA KUTETA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU
Zito Zubeli Kabwe amefika kwenye Viwanja vya hotel ya Lamada iyopo Ilala jijini DSM kwaajili ya kuweka mikakati na Mipango ya uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 28 Mwezi 10 mwaka huu 2020 na Wajumbe wa Halmashauri Kuu
Habari picha na Victoria Stanslaus
Habari picha na Victoria Stanslaus
KIONGOZI MKUU WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO AKISALIMIANA NA MMOJA YA WAJUMBE PICHANI
Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Zito Zubeli Kabwe akipewa mkono na mjumbe wa Halmashauri Kuu wa ACT Wazalendo baada ya kuwasili kwenye Viwanja vya hotel ya Lamada Ilala jijini DSM
Habari picha na Victoria Stanslaus
Habari picha na Victoria Stanslaus
KAMATI YA MAADILI YA TFF YASHUSHA RUNGU ZITO KWA KOCHA WA YANGA
Mjumbe wa Kamati ya Maadili Wakili Msomi Alex amesema kutokana na maneno ya kibaguzi na Uchochezi aliyetoa aliekuwa Kocha wa Yanga Luku Immeel qamempiga faini ya milioni 3 na kutoshiriki maswala ya michezo Kwa muda wa miaka 2 nchini Tanzania na kutoa kiasi cha fedha milioni tano5 kwani amevunja kanuni ya Ibara ya 53 na 58 amesema haya kwenye Makao Makuu ya TFF jijini DSM
Habari picha na Victoria Stanslaus
Habari picha na Victoria Stanslaus
PICHANI MAALIM SEFU AKITINGA VIWANJA VYA LAMADA HOTEL
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Sefu kama anavyochikua onekana pichani akiwasiri kwenye viwanja vya hotel ya Lamada iliyopo Ilala jijini DSM kwaajili ya kufungua Mkutano wa kamati kuu wenye Wajumbe 45 Sawa na asilimia 88 walioudhulia
Habari picha na Victoria Stanslaus
Habari picha na Victoria Stanslaus
MAALIM SEFU AWATOA MCHECHETO WAJUMBE WA KAMATI KUU
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo amesema Maandalizi ya Mkuutano wa Halmashauri kuu na Mkutano Mkuu yamekamilika amesema haya mblele ya wajumbe 45 Sawa na asilimia 88 ambao wameudhuria Mkutano wa kamati kuu uku Ajenda 9 zikijadiliwa na wajumbe 6 wamepata hudhuru mbalimbali amesema haya kwenye hotel ya Lamada iyopo Ilala jijini DSM
Habari picha na Victoria Stanslaus
Habari picha na Victoria Stanslaus
NAIBU KATIBU MWENEZI WA ACT WAZALENDO ATOA YA MOYONI
Naibu Katibu Mkuu Mwenezi wa ACT Wazalendo Janeth amesema kamati kuu ya ACT Wazalendo wamekutana kwaajili ya Maandalizi ya Halmashauri kuu Taifa na mkutano mkuu utakaofanyika tarehe 5 Mwezi 8 mwaka 2020 kwaajili ya kumpitisha Mgombea Urais Tanzania bara na Nzazibar na kuzindua Irani ya Uchaguzi ya ACT Wazalendo . Swala la makundi Maalim limepewa kipaumbele kwenye Irani ya ACT Wazalendo
Habari picha na Victoria Stanslaus
Habari picha na Victoria Stanslaus
Subscribe to:
Posts (Atom)






