Katibu Mkuu Wizara ya Afya Jinsia ,Wazee na Watoto dokta John Jingu amesema LSF NDANI ya MIAKA KUMI imewezakuisaidia serikali Kwa kiasi kikubwa katika mabadiliko ya Sera,Sheria,Kanuni na Taratibu ivyo wanaishukuru mno.
HAbari na Ally Thabiti
HAbari na Ally Thabiti
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania TAWLA Tike Mwambipile
Habari na Ally Thabiti
Lulu Mwanakilala amekishukuru serikali Kwa kuwaunga mkono Kwa kazi zao ,Danida,Ubarozi wa Swiden,ubarozi wa Canada,UK na wadau wengine I.
Habari na Ally Thabiti
Meneja Julia Jenjezuu wa Chuo cha DIT amesema Lengo la mradi wao ni kutatua changamoto zilizopo katika jamii kwenye hispitali mbalimbali .amesema vifaa wanavyovitumia vikipelekwa mahospitalini vitasaidia kutatua changamoto mbalimbali.
Ametoa wito Kwa serikali kufanya maboresho na malekebisho yasera na sheria kwenye upande wa Afya.
Habari picha na Ally Thabiti
Pia wamefikiwa watu milioni moja na lakinane kwenye Mikoa kumi ikiwemo Dodoma,Pwani,Tanga,Arusha,Kilimanjaro,Mwanza Dsm na Mikoa yote ya Zanzibar.
Habari picha na Ally Thabiti
Habari picha Ally Thabiti
Licha ya changamoto anazokutana nazo katika kuwa Mtangazaji na Mwimbaji lakini anafanya vizuri amewataka watu kufuatilia Instagram yake @hadammchomvu na You tube hadammvomvu.
Anapokuwa kwenye kuitangaza anaepuka mgongano wa kimaslai kupiga nyimbo zake na Hadam Mchomvu kabla ya kuwa Mtangazaji alikuwa akiwa katika Uimbaji wa mziki. Ametoa wito Kwa watanzania wajitume katika kazi zao za mziki.
Habari picha na Ally Thabiti