Msanii Ant Ezekiel ameamuwa Kutoka chama cha Chadema na kujiunga na chama cha ccm kwani rais Dr samia anawaunga mkono wasanii kwa kiasi kikubwa kwa kuwapa mikopo na kuweka mazingira rafiki kwa wasanii na ameahidi atakuwa balozi wa chama cha ccm.
Habari picha na Ally Thabit
No comments:
Post a Comment