Friday, 7 February 2025

MASHUJAA WA SARATANI PAMOJA NA WADAU WANAOPIGA VITA SARATANI ZA AINA ZOTE WAPO KWENYE MATEMBEZI

 
Kama Inavyo Onekana Pichani  hawa ni Wadau wanaopiga vita ugonjwa wa saratani wapo katika matembezi Lengo la matembezi haya kuhiasa jamii kujitokeza kufanya uchunguzi kwenye miili yao kama wana magonjwa ya saratani au dalili ili waanze tiba mapema kwani saratani inatibika ukiiwai .


Habari picha na Ally Thabit Mbungo 

No comments:

Post a Comment