Friday, 7 February 2025

GLORIA KIDA MKURUGENZI WA ASASI YA SHUJAA WA SARATANI AIMIZA WATU KUPIMA SARATANI

 Mkurugenzi  wa Asasi ya Shujaa wa Saratani Gloria Kida anawataka watu kujitokeza kwa wingi  kupima saratani za aina zote Pia anawahimiza wanajamii kuchanja chanjo ya HPV wao na watoto wao kwani  ni kinga dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi .

Asasi yao Imetoa Elimu ya Saratani Katika  Mkoa wa Mwanza na Wilaya zote za Dar es salaam  amesema haya kwenye kilele cha week ya saratani iliyo fanyika kwenye Hospitali ya Oceanroad   Cancer Institute ambako kila mwaka uazimishwa tarehe 4 ya mwezi 2 duniani kote .

Habari  na Ally Thabit. 

No comments:

Post a Comment