Mkurugenzi wa Asasi ya Shujaa wa Saratani Gloria Kida anawataka watu kujitokeza kwa wingi kupima saratani za aina zote Pia anawahimiza wanajamii kuchanja chanjo ya HPV wao na watoto wao kwani ni kinga dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi .
Asasi yao Imetoa Elimu ya Saratani Katika Mkoa wa Mwanza na Wilaya zote za Dar es salaam amesema haya kwenye kilele cha week ya saratani iliyo fanyika kwenye Hospitali ya Oceanroad Cancer Institute ambako kila mwaka uazimishwa tarehe 4 ya mwezi 2 duniani kote .
Habari na Ally Thabit.
No comments:
Post a Comment