Mkurugenzi Mkuu wa GSM FOUNDATION Faith Gugu amesema wataendelea kushirikiana na hospital ya Ocean road Cancer Institute katika mapambano ya saratani za aina zote lengo kutokomeza au kupunguza uogonjwa wa saratani na vifo vinavyotokana na saratani za aina zote kwani GSM FOUNDATION inatoa elimu kwa jamii ya kujilinda dhidi ya magonjwa ya saratani. Elimu hii inawafikia watu wenye ulemavu wa aina zote.
Amesema haya kwenye kilele cha maazimisho ya saratani yalio fanyika kwenye Hospitali ya Ocean road cancer Institute ambako uazimishwa kila tarehe 4 ya mwezi wa 2 duniani kote kila mwaka .
Habari na Ally Thabit
No comments:
Post a Comment