Friday, 21 February 2025

STAMINA KUMLUDISHA ROMA TANZANIA


 Msanii wa Kizazi Kipya Stamina na balozi wa chama cha ccm amesema atamshawishi msanii Roma aliopo mafichoni nchini marekani aweze kurudi nchini tanzania na kujiunga na chama cha ccm.

Habari picha na Ally Thabit 

No comments:

Post a Comment