Meneja mafunzo wa SWISSPORT SIE KISAI amewataka watanzania waitumie kampuni yao katika kusafirisha mizigo mbalimbali kwaajili ya usalama na kufika kwa wakati kwa mizigo yao . Lengo la wao kuja tanzania kuondoa na kutatua matatizo ya usafirishaji wa mizigo
habari picha na ALLY THABITI
Tuesday, 19 September 2017
FASTJET YAJA KIVINGINE
Meneja masoko wa FASTJET CHRISTINA JOSEFU amewataka watanzania watumie shirika la FASTJET kwani huduma zao ni bora na nzuri zaidi na gharama zao ni nafuu zinapatikana kwa shilingi 79000 Mwanza Dar na mikoa mingine ya Tanzania
abari picha na VICTORIA STANSLAUS
abari picha na VICTORIA STANSLAUS
WADAU WATAKIWA KUIOKOA SEKTA YA ANGA
Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege Tanzania LADISLAUS E. MATINDI amezitaka taasisi mbalimbali ziweze kuwawezesha wanafunzi kipesa ili wamudu masomo ya urubani ili tuwe na marubani wengi . ametoa rai kwa jamii wawaimize vijana wao wapende masomo ya urubani
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
VITA KALI ATANGAZA MWENYEKITI WA CCM
Mwenyekiti wa jumuia ya wazazi CCM Taifa ABDALA BULEMBO amesema tarehe 21 na 23 mwezi 9/2017 uchaguzi wa jumuia ya wazazi unaanza rasmi kwenye ngazi za wilaya. amewataka wagombea kufuata kanuni,taratibu na sheria zote za chama cha mapinduzi CCM . ametoa wito kwa wagombea kufanya kampeni za kistaarabu
habari picha na ALLY THABITI
habari picha na ALLY THABITI
VIJANA WATAKIWA KUWA CHACHU YA MAENDELEO
WALENI BRAITONI wa UNFPA amewataka vijana wa kitanzania washiriki kikamilifu kwenye miradi mbalimbali lengo wapate maendeleo ya kiuchumi wao na Taifa kwa ujumla amesema haya kwenye mkutano wa siku1 uliojumuisha vijana na wana habari kwenye hotel ya protea eneo la upanga jijini Dar es salaam
habari picha na ALLY THABITI
habari picha na ALLY THABITI
VIJANA WAPONGEZWA
Meneja miradi wa AMOA amewapongeza vijana wa kitanzania kwa kuweza kuchangamkia miradi mbalimbali .Pia amewapongeza wana habari kwa kutoa taarifa za miradi kwa wakati amesema haya kwenye mkutano wa siku1 uliofanyika kwenye hotel ya protea eneo la upanga jijini Dar es salaam
habari picha na ALLY THABITI
habari picha na ALLY THABITI
WANAKE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA
RAITINESI DANIELI amewataka wanawake wa kitanzania waweze kuchangamkia fursa za kibiashara zilizopo nchini Tanzania na nje ya nchi yeye anatengeneza Sabuni za kunawia mikono pamoja na shampuu ametoa rai kwa mabenki waweze kuwakopesha wanawake kwa riba nafuu na kwa masharti nafuu
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
habari picha na VICTORIA STANSLAUS
Subscribe to:
Posts (Atom)