Habari picha na Ally Thabiti
Habari picha na Ally Thabiti
Mwenyekiti wa Chama cha CUF prof Iblaim Aluna Lipumba amesema pingamizi aliloekewa na Mgombea mwenzake Kwa nafasi ya Urais kupitia Chama cha CHADEMA alikuwa na mashiko . Amewataka Wana CUF kujiandaa na kampeni za Uchaguzi
Habari Victoria Stanslaus
Mkurugenzi wa Baraza la Mazingira Tanzania (NEMC) Dr Eng Gwamwaka amesema kitendo cha taasisi ya TMHS Kuwakutanisha wadau wa mazingira kujadili na kuweka mikakati ya kupunguza taka nchini ni kizuri kwani Kinatoa fursa ya watu kupata ajira kupitia taka ,kupunguza gharama za kuagiza Mali ghafi kutoka nje ya nchi huku mi kumuunga mkono rais Magufuli kufika Tanzania ya Viwanda
Habari picha na Victoria Stanslaus
Maafsa wa Jeshi la wananchi nchini Tanzania (JWTZ) wameagwa baada ya kufika kikomo cha kustaafu ambako wapate 16 Mameja Jenerali6 Blegedia Jenereli9 na Ruteni Jeneraki1 ambaye Pour Peter Massao ambaye aliekuwa mkuu wa Chuo cha Usalama wa Taifa Kunduchi jijini Dsm .Mery Hiki bregedia Jenerali aliekuwa Mwambata wa Jeshi nchini Burundi akiiwakilisha Tanzania ameishukuru serikali ya Tanzania Kwa kuvijali na kuvisimamia Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nae Hawa ISA bregedia Jenerali ameahidi kutekeleza Kwa Vitlendo Yale yote yaliofanywa na watangulizi wao . Name mkuu majeshi Ruteni Jeneraki1 Venasi Mabeo ameshirikiana kwenye kuwaahidi maafisa wa Jeshi Eneo la Uhasibu Temeke jijini Dsm
Habari picha na Ally Thabiti