Monday, 29 April 2024

TAASISI YA TUME YA NGUVU ZA ATOMU (TAEC) YABAINISHA MAFANIKIO CHINI YA RAIS DKT SAMIA

 


Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Tume ya Nguvu za Atomu (TAEC) Professor Razaro Busagala amesema kipindi cha miaka mitatu kwenye uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wameweza kujenga maabara sita miaka ya Arusha, Dodoma, Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Zanzaibar, 

Ambako kiasi cha shilingi Bilioni 28.11 zimeweza kutumika kwenye ujenzi wa maabara hizo lengo la kujenga maabara hizi ni kuwezasha usalama katika sekta ya kilimo, kwenye matumizi ya pembe jeo na viwatirifu, sekta ya afya ambako kuweza matumizi sahihi na yenye ubora kwenye vifaa vya MRI, CT-Scan ambako zimewawezesha watoa huduma watoe huduma kwa usalama kwao na kwa wapokeaji huduma hizi na sekta ya uchimbaji madini.

Ambako taasisi yao imeweza kufanikiwa kwa kiasia kikubwa katika uwangalizi na usimamizi wa matumizi ya Nguvu za Atomu haya kwao ni mafanikio makubwa sana, Profesor Razaro Busagala amesema kipindi cha miaka mitatu cha Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kiwango chao cha ukusanyaji wa fedha kimeongezeka ambako wamepata kiasi cha Bilioni 10.9, ukilinganisha na miaka ya nyuma walikuwa wanakusanya Bilioni 8.3 pia amewatoa hofu Watanzania na wasio Watanzania kuwa Tanzania kwenye nguvu za Atomu angani na ardhini ni salama, 

Swala la utowaji wa elimu kwa matumizi ya Nguvu ya Atomu wanatoa kwa kiasi kikubwa huku wakiwa na mipango mikakati kutoa elimu kwa watu wenye ulemavu, amesema haya jijini Dar es Salaam kwenye ukumbi wa chuo cha Utarii wakati akizungumzia mafanikio ya taasisi yao kwa miaka mitatu chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa na wanahabari mapoja na wahariri wa vyombo vya habari.

Habari Picha na Ally Thabiti

Tuesday, 23 April 2024

ASKOFU DR PETER AIMIZA MAOMBI KWA RAIS DR SAMIA


 Mkurugenzi  wa Taasisi ya Kumuombea rais Dr Samia askofu dr Peter Rashidi amewataka viongozi wote wa kidini Tanzania wafanye maombi usiku na mchana kama inavyofanya taasisi yake lengo ili mungu amlinde na maadui,amuepushe na mitosis na aweze kufanya maamuzi yenye hekima na busala.

Ametoa wito kwa watanzania kuendelea kutunza na kuilinda amanita iliopo pia waendelee kuombea muungano wa nchi yetu uendelee kuhimarika

Amesema haya jijini dar es salaam kwenye maombezi na dua yakuombea taifa na miaka60 ya muungano.

Habari picha na  Ally Thabit 


VIONGOZI WA KIDINI WAUNGA MKONO KAZI YA TGNP


 Makalu Mwenyekiti wa Kamati ya Maliziano Wilaya ya Ilala na Mchungaji Liliani amewataka wanawake nchini Tanzania kujitokeza kwa wingi kugombea na kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za .

pia amewataka wanaume waache mfumo dume pamoja na mila na destuli potofu na kandamizi kwa wanawake finding wanapoitaji kugombea nafasi za uongozi  na badala yake wawaunge mkono na wawetayali kuwapa luusa wanapoitaji kugombea au kupiga kura.

Kwa niaba ya viongozi wa kidini kupitia kamati ya malidhiano wanaunga mkono na kuipongeza TGNP kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kutoa elimu kwa watu kuondokana na dhana potofu kwa wanawake yakuamini kuwa wanawake  awawezi kuongoza na badala yake kuonesha wanawake kuwa na uwezo mkubwa wa kuongoza.

Amesema haya jijini dar es salaam wakati wa maombezi na dua ya miaka 60 ya muungano viwanja vya karimjee.

Habari picha na Ally Thabit 

MEA KUMBILAMOTO ATETA NA VIONGOZI WA KIDINI


 Omary Kumbilamoto Mea wa jiji la dar es salaam amewapongeza na kuwashukuru viongozi wa dini akiwemo Askofu Dr Peter Rashidi kwa kufanya maombi ya kuliombea taifa la Tanzania  kwa kutimiza miaka 60 ya Muungano . 

Ambako askofu Peter pamoja na wenzake akiwemo askofu Crement,janeti,liliani,she Adam,imams Rashidi wa pugu mnadani kwa kupitia taasisi ya kumuombea rais Samia wamefanya maombezi na dua viwanja vya Kariimjee lengo rais Dr samia ,waziri mkuu kasimu majolica,makalu wa rais,Barbara la mawaziri,wakuu wa mikoa ,wakuu wa wilaya,wakurugenzi,mama na viongozi wote mungo awaepushe na shari na mikosi na awape moyo thabiti wa kuongoza nawawe na maamuzi mazuri na sahihi.

Mea kumbilamoto amesema kipindi cha miaka 3 rais Dr Samia ameweza kuleta maliziano ya kisiasa,kukamilisha miradi ya kimkakati mfano ujenzi wa mwalimu nyerere, Sgr ,daraja la kigongo busisi mwanza na ujenzi wa maharaja kuanzia msingi,secondary na vyuo vya kati.

Amewataka viongozi wa dini zote waendelee kumuombea rais Dr Samia katika uongozi wake amesema haya jijini dar es salaam  katika kuliombea taifa kwa kutimiza miaka60 ya muungano .

Habari picha na Ally Thabit 

Thursday, 18 April 2024

MKURUGENZI SANTINA BENSON AAIDI MAKUBWA KWA WANAWAKE

 


Mkurugenzi wa Taasisi ya Thank Equal, Lead Smart Leadrship has no gender Santina Benson amesema mradi waliouzindua Leo hii  wa miaka mitatu3 wenye lengo la kuwainua wanawake kushika nafasi za uongozi katika sekta binausi na serikalini utasaidia kwa kiasi kikubwa na kuwezesha  kuwepo kwa mabadiliko ya sera za wanawake kuongoza .

Kubadili mira na nadesturi potofu kuwa wanawake awawezi kuwa viongozi ambako jambo ili sio la kweli na kuwawezesha wanawake kujikwamuwa kiuchumi  mfano kwenye sekta ya kilimo na zinginezo.

Santina Benson ametaka sekta binaus na wadau wengine wawaunge mkono kwenye mradi wao huku akiwashukuru Vodacom kwa kuweza kutoa kiasi cha fedha milioni 200 katika mradi waliouzinduwa Leo.          Swala la kuwafikia watu wenye ulemavu ili wawe viongozi wakubwa wamelibeba na kuaidi kulifanyia kazi ,amesema haya kilimanjaro hotel jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit 

VODACOM YATOA MABILIONI YA PESA

 Aneti Kanola wa Vodacom amesema wametoa milioni Mia mbili 200 kwa taasisi ya Think Equal, Lead Smart Leadership has no gender . Lengo kuleta mabadiliko ya sera ,kubadili mira na destuli potofu juu ya mwanamke kuwa kiongozi na kumwezesha mwanamke kujikwamuwa kiuchumi.

Ambako asilimia 60% ya wanawake wanajishuulisha na kilimo lakini uchumi wao upon chini. Aneti Kanola amesema mradi huu utakuwa wa miaka 3 na vodacom itaendelea kutoa elimu kwa wanawake ili wapate nafasi  za    uongozi ili wajikwamuwe kiuchumi.

Asilimia 43 ya wafanyakazi wa vodacom ni wanawake na pia wamewezakuweka  mazingira wezeshi kwa wanawake wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua amesema haya kwenye uzinduzi wa kampeni ya kuleta mabadiliko wanawake kushika nafasi za uongozi  jijini dar es salaam  kilimanjaro hotel. 

Habari na Ally Thabit 

Wednesday, 17 April 2024

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI TASAC

David Kihemile Naibu Waziri wa Uchukuzi  ameipongeza Tasac kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kulinda usalama wa majini na utunzaji wa mazingira na usimamiaji wa meli zinapoingia nakutoka nchini.

Semina ya siku mbili walio isimamia na kuratibu ambakoimejumuisha nchi mbalimbali ikiwemo nchi ya Kenya, Uganda,Senegal,Kongo pamoja na yenyewe Tanzania  semina hii imejumuisha wadau wa vyombo vya majini Tanzania tutajifunza mambo mengi . 

Kwaupande mwengine serikali ya Tanzania kupitia wizara ya uchukuzi imewekeza kiasi cha fedha tilioni moja kwaajili ya kuboresha vyombo vya majini ikiwemo ujenzi wa meli ziwa Victoria pamoja na kulekebisha meli kwenye maziwa mengine.

Pia ujenzi wa vivuko na ununuzi wa vivuko kwenye maeneo mengine amesema haya wakati akifunga semina ya siku mbili ya madau wa majini today nchi mbalimbali iliyofanyika ukumbi wa mwalimu nyerere posta jijini dar es salaam. 

Habari na Ally Thabit