Wednesday, 6 October 2021

LHRC YATOA MAPENDEKEZO MFUMO WA HAKIJINAI


 Furugensi Masawe Mkurugenzi wa Ujengezi na Mabolesho wa LHRC amesema Lengo la kufanya utafiti wa Mfumo wa HakiJinai nikuweza kuishawishi na kuishauri serikali ifanye mabadiliko ya sheria,Sera,kanuni na Taratibu za makosa ya Jinai katika upande wa Zamana . 

Kwani kuna ukiukwaji mkubwa wa Ibara ya 13 na 15 ya Katiba ya Tanzania Kwa watu kunyimwa Zamana kwenye upande wa jinai . Kwani zaidi ya asilimia 60 watu wapo maabusu ambako uhasirika kisaikolojia,kiafya,kielimu na kiuchumi .

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment