Wednesday 6 October 2021

MTANGAZAJI NGULI WA MICHEZO MAURIDI KITENGE ABAINI MIHAROBAINI WA MICHEZO


 Mauridi Kitenge Mtangazaji wa Michezo amesema ili Michezo iweze kukuwa ni vyema watu wajitokeze katika kuwekeza kwani anaipongeza TFF na Bodi ya Rigi Kwa kuingia mkataba wa Fedha za Kitanzania bilioni 2.5 kupitia Bank ya NBC kwani Fedha hizi zitasaidia virabu vya rigi kuu soka tanzania bara katika kujikimu.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment