Mkurugenzi wa Amana Benk Abubakari amesema watazidi kudhamini na kufadhiri mashindano ya Quran lengo kuwatia moyo wanaohifadhi na kusoma Quran na kukikuza kitabu cha mungu amesema haya kwenye mashindano ya 25 ya kuifadhi Quran yalioandaliwa na taasisi ya Bi Aisha Sururu foundation ambayo yamefany8ka jijini dar es salaam.
Habari picha na Victoria Stanslaus
No comments:
Post a Comment