Monday, 10 March 2025

AMANA BENK YAAIDI MAZITO


 Mkurugenzi wa Amana Benk Abubakari amesema watazidi kudhamini na kufadhiri mashindano ya Quran lengo kuwatia moyo wanaohifadhi na kusoma Quran  na kukikuza kitabu cha mungu amesema haya kwenye mashindano ya 25 ya kuifadhi Quran  yalioandaliwa na taasisi ya Bi Aisha Sururu foundation ambayo yamefany8ka jijini dar es salaam. 

Habari picha na Victoria Stanslaus 

No comments:

Post a Comment