Makamu Mwenyekiti wa Bodi Shule ya St. Matthew's Dr Mwisiga amesema siri kubwa ya mafanikio kwa shule za St Matthew's katika wanafunzi kufahuru kwa kiwango kikubwa ni mazingira ni rafiki na wezeshi ya kufundishia na kujifunza wanafunzi.
Kuwepo kwa mahabara za kutosha na matumizi ya kiteknolojia ya kufundishia na kujisomea .swala la nidhamu, usalama na malezi ni misingi inayosimamiwa na kuzingatiwa kwenye shule zote za St. Matthew's.
Makamu Mwenyekiti wa Shule za St. Matthew's anawataka wazazi na walezi wawpeleke watoto wao kwenye shule za St Matthew's kwani watapata elimu bora na gharama ni nafuu na inalipika kwa hawamu nne lakini pia kupitia Maendeleo Bank watapata mkopo wa ada wenye riba ya asili moja .Makamu Mwenyekiti wa bodi Dr Mwisiga amesema swala la maadili, mafundisho ya dini , tabia njema ni vitu. Vinavyosimamiwa na kuzingatiwa kwa wanafunzi ndio maana ufahuru unaongezeka mwaka hadi mwaka amesema haya kwenye maafari ya 20 ya kidato cha sita kwa wanafunzi wapatao 97 wa shule ya St. Matthew's.
Habari na Ally Thabit
No comments:
Post a Comment