Saturday, 22 March 2025

MAKAMU MWENYEKITI WA BODI YA SHULE YA ST. MATTHEW'S AFICHUWA SIRI NZITO

 Makamu Mwenyekiti  wa Bodi Shule ya St. Matthew's Dr Mwisiga   amesema siri kubwa ya mafanikio kwa shule za St Matthew's  katika wanafunzi kufahuru kwa kiwango kikubwa  ni mazingira ni rafiki na wezeshi ya kufundishia na kujifunza wanafunzi.

Kuwepo kwa mahabara za kutosha na matumizi ya kiteknolojia ya kufundishia na kujisomea .swala la nidhamu, usalama na  malezi ni misingi inayosimamiwa na kuzingatiwa kwenye shule zote za St. Matthew's. 

Makamu Mwenyekiti wa  Shule za St. Matthew's anawataka wazazi na walezi wawpeleke watoto wao kwenye shule za St Matthew's  kwani watapata elimu bora na gharama ni nafuu na inalipika kwa hawamu nne lakini pia kupitia Maendeleo Bank watapata mkopo wa ada wenye riba ya  asili moja .Makamu Mwenyekiti  wa bodi  Dr Mwisiga amesema swala la maadili, mafundisho ya dini , tabia njema ni vitu. Vinavyosimamiwa na kuzingatiwa kwa wanafunzi  ndio maana ufahuru unaongezeka mwaka hadi mwaka  amesema haya kwenye maafari ya 20 ya kidato cha sita kwa wanafunzi wapatao 97 wa shule  ya St. Matthew's. 

Habari na Ally Thabit 

No comments:

Post a Comment