Salmu Kikeke amesema Tarehe 5 ya Mwezi wa 4 mwaka 2025 amesema kutakuwa na msafara wa magari mia moja yataelekea mkoani Tanga eneo la pangani pia yatapita kwenye ushoroba wa saadani lengo ni kuonesha mafanikio na maendeleo yaliofanywa narais Dr Samia kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wake.
Samia 4×4 itagawa vifaa vya kujifungulia wamama wajawazito ambako vifaaa hivyo ni zaidi ya elfu moja ivyo wanawake wote wanatakiwa kujitokeza kwa wingi .
Pia msafara huu utapokelewa na waziri wa maji Awesu Juma Awesu .katika msafara huu kutakuwa na uzinduzi wa miradi mbalimbali iliyotekelezwa na rais Dr samia na kilele cha msafara huu wa Samia 4×4 utafikia tamati tarehe 8 mwezi wa 4 mwaka 2025.
Habari picha na Ally Thabit
No comments:
Post a Comment