Monday, 10 March 2025

SHEIKH PONDA AELEZA UMUHIMU WA FUNGA

 Sheikh Issa Ponda  amewataka Waislamu wote wale ambao awana matatizo ya kiafya waweze kutekeleza nguzo ya nne ya kiislam kati ya tano wafunge ramadhani ndani ya mwezi huu wa ramadhani kwani watakuwa waja wema  pia wasome Quran mara kwa mara.

Habari na  Victoria Stanslaus 

No comments:

Post a Comment