Sheikh Issa Ponda amewataka Waislamu wote wale ambao awana matatizo ya kiafya waweze kutekeleza nguzo ya nne ya kiislam kati ya tano wafunge ramadhani ndani ya mwezi huu wa ramadhani kwani watakuwa waja wema pia wasome Quran mara kwa mara.
Habari na Victoria Stanslaus
No comments:
Post a Comment