Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Taasisi ya BI Aisha Sururu amesema wataendelea kuwawahifadhisha Quran vijana wote wa kitanzania na wasio watanzania lengo wamtambue mungu na wawe wenye maadili mama.
BI Aisha Sururu ametoa wito kwa watanzania na wasio watanzania kutoa michango yao ya fedha na Mali ili taasisi yake ijenge madarasa na mabweni eneo la kiparang'anda mkoa wa pwani kiasi kinachoitajika ni zaidi ya bilioni mia nne.
Amesema haya jijini dar es salaam kwenye mashindano ya kuhifadhi Quran.
Habari picha na Victoria Stanslaus
No comments:
Post a Comment