Diwani wa Viti Maalum na Mweka hazina kwenye taasisi ya Aisha Sururu Foundation anawataka wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao kusoma Quran kwani kuna faida zinapatikana zikiwemo kuwa na imani,kuulumia binadamu mwenzako,kuwana ofu na kuwa mwadilifu na weredi katika kazi na jamii kwa ujumla .
Habari picha na Victoria Stanslaus
No comments:
Post a Comment