Mwenyekiti wa Jumuhiya ya Kiislamu na Waziri Msitaafu wa wizara ya viwanda na biashara na wizara ya maendeleo ya jamii , jinsia na watoto ambae alikuwa mbunge mwanamke kwanza kuchaguliwa na wananchi mnamo mwaka 1985 Hajati Shamimu pichani akizindua ripoti ya TGNP inayoeleza na kueleza hatua na changamoto zilizo jitokeza baada ya mkutano wa Beijing uliofanyika mwaka 1995 ambako kwa sasa tunatimiza miaka 30 ya Beijing.
Habari picha na Ally Thabit
No comments:
Post a Comment