Thursday 2 February 2023

WAZIRI ANJERA KAIRUKI ALEJESHA TUMAINI KWA WALIMU

 

Waziri wa Tamisemi Anjera  Kairuki amewaakikishia Walimu kelo na changamoto zao zote ikiwemo kupandishwa madaraja na makazi zitatatuliwa na pia Kwa Walimu wenye maitaji maalum changamoto zao zitapatiwa ufumbuzi.

Habari 

No comments:

Post a Comment