Wednesday 9 February 2022

CATHERENE KUZIFIKIA SHULE 50


 Mkurugenzi wa Afrans Child Project Catherene amesema watazifikia shule za msingi na secondary  kwenye mikoa ya  Katavi,Dodoma,Kigoma,Mara,Kilimanjaro na mikoa  mingineyo Lengo  Kutoka elimu na mafunzo ya matumizi ya teknolojia.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment