Monday 14 February 2022

KATIBU MKUU ZAINABU CHAULA AJA NA MIKAKATI MIZITO


 Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, Watoto, Wanawake na Makundi Maalum Zainabu Chaula amewataka viongozi WA serikali za Mitaa,Kata na Halmashauri taarifa za miradi mbalimbali ziwe wazi .

Pia Watumie Tehama kwaajili ya kuwapasha habari watu ametoa with Kwa watanzania Watumie Tehama kwaajili ya kutangaza bidhaa zao na waweze kujiajili.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment