Tuesday 1 February 2022

VIONGOZI WA KIDINI WAPAZA SAUTI JUU YA MAUAJI


 Padri Kisale amewataka Watanzania Waache Mala moja vitendo vya mauaji nchini Tanzania pia amewataka Viongozi wa Kidini Kutoka elimu Kwa jamii namna ya kudumisha na kulinda Amani na Uhuru wetu.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment