Tuesday 15 February 2022

MWEKEZAJI AFUNGUWA MILANGO KWA WATU WENYE ULEMAVU


Avi Postelnik Mkurugenzi wa AIE HOLDING LIMITED TZ amewataka watu wenye Ulemavu wajiunge kwenye miradi yake uko bagamoyo na maeneo mengineyo kwani watapata ajira .

Ametoa wito Kwa wawekezaji duniani kote wajitokeze Kwa wingi kwaajili ya kuwekeza tanzania kwani mazingira ni rafiki Kwa wawekezaji,pia amepongeza mkataba wa AFCFTA.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment