Tuesday 1 February 2022

SWAHIBA AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUCHANGAMKIA FURSA


 Mkurugenzi wa Mambo ya Nje Africa Mashariki na Ulaya Barozi Swahiba Mndeme amesema Safari walioenda wafanya biashara nchi ya Italy imekuwa yenye mafanikio makubwa .

Amewataka wafanya biashara wa kitanzania kuchangamkia fursa  mbalimbali Lengo Kuongeza wigo mpana kwaajili ya kupata Masoko na wateja .

Habari picha na Ally Thabiti


No comments:

Post a Comment