Tuesday 22 February 2022

WANAWAKE WA MADINI YA VIWANDANI WAUNGWE MKONO

 

Mwenyekiti wa Chama cha Madini ya Viwandani Devota S.Kioko amewata wadau wa Viwanda waweze kununua Madini Yao ya Viwandani Kwani yana ubora wa kiasi kikubwa. Pia amesema wanaoitaji kuchimbiwa Madini ya Viwandani wanakaribishwa na Kwa mawasilihano zaidi 0753 034610 .

Habari picha na Victoria Stanslaus

No comments:

Post a Comment