Wednesday 9 February 2022

JIJI LADSM LATENGA BILIONI 35


 Diwani wa Kata ya Buyuni Othman Maembe amesema Jiji la Dsm kimetengwa kiasi cha bilioni 35 kwenye bajeti ya mwaka 2022 /2023 Lengo kuboresha na kukuza sekta ya Elim,Afya,Maji,Miundombinu na sekta zinginezo

Diwani wa Kata ya Buyuni Othman Maembe amewataka watu kulipa Kodi kwaajili ya maendeleo.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment