Monday 28 February 2022

MBUNGE TUMAIMI MAGESSA ABAINISHA MIKAKATI


 Mbunge Tumaimi  Magessa amesema Katika Jimbo lake wataakikisha wanaweka mazingira wezeshi Kwa upande wa miundombinu ya barabara na umeme  kwaajili ya wawekezaji wa Madini na wengineo.

Mbunge Tumaimi Magessa amewaakikishia wananchi wa Jimbo la Busanda Fedha zinazopatikana kwenye Madini zitaendelea kutatuwa changaoto

No comments:

Post a Comment