Wednesday 23 February 2022

MWENYEKITI WA FEMATA AWASILISHA KILIO CHA WACHIMBA MADINI KWA MAKAMU WA RAIS


 Mwenyekiti wa Chama cha Wachimba Madini  Tanzania (FEMATA)  John Bina amesema wingi wa tozo imekuwa kilio Kwa wachimba Madini, ukosefu wa mitaji ,mabenk kuto waamini,ukosefu wa kisasa WA uchimbaji Madini.

John Bina ameipongeza Wizara ya  Madini Kwa kuweza kutatuwa kelo za sekta ya Madini ambako zilikuwa21 na sasa zimebaki chache.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment