Tuesday 1 February 2022

MWENYEKITI WA ACT WAZARENDO BABU JUMA DUNI HAJI KUMVAA RAIS SAMIA


 Babu Juma Duni  Haji Mwenyekiti wa Chama cha ACT WAZARENDO ambae amepata Kura 339 amesema Kwa nafasi aliopata ataakikisha anaona na rais wa Tanzania bara na wa Zanzibar Lengo kujadili namna ya kukuza na kuimarisha demokrasia hapa nchini.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment