Monday 14 February 2022

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AKABIDHIWA CHETI


 Mkuu waWilaya ya Kinondoni Godwin Ggondwe amewataka madereva nchini kuzingatia Alama za barabarani ,pia amesema sheria ya usalama barabarani ya mwaka 1973 Kwa kushirikiana na wabunge wataakikisha wanaifanyia malekebisho.

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment