Monday 14 February 2022

DR MARIHAM AFICHUA SIRI YA KAIZEN


 Dr Mariham Tambwe  Muhadhiri wa Chio cha CBE na Mkufunzi wa KAIZEN amesema mradi wa KAIZEN umesaidia Kwa kiasi kikubwa katika uzalishaji viwandani .

ameiomba Serikali  na JICA waweze kuvifikia Viwanda vingi Kwani Viwanda 137 vimefikiwa na mradi wa KAIZEN .

Habari picha na Ally Thabiti

No comments:

Post a Comment