Tuesday 25 July 2017

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM ARIDHISHWA NA UJENZI WA WODI YA KINAMAMA WAJAWAZITO

Mkuu wa mkoa wa dar es salaam POO MAKONDA  ameridhishwa na hatuwa ya ujenzi ulivyofikia kwenye wodi ya mama wajawazito katika Ospitali ya AMANA  iliopo manispaa ya Ilala jijini dar es salaam wodi hii itakuwa na uwezo wa kubeba vitanda 150 na kuweza kusaidia kuondoa  mrundikano wa mama wajawazito kabla ya kujifungua na baada ya kujifungua Lengo laujenzi wa wodi hii nikutekeleza kwa vitendo kauli ya rais MAGUFULI kwa kutoa huduma bora kwa jamii na kunusuru vifo vya kina mama wajawazito na watoto wanao zaliwa  Mkoa wa dar es salaam utakuwa na jumla ya vitanda 450 vya mama wajawazito na watoto katika manispaa za Kinondoni, Temeke na Ilala pindi mradi wodi hizi zitakapo kamilika  na rais MAGUFULI  ndeye atakayezinduwa ametoa rai kwa wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia ujenzi mbalimbali hapa jijini dar es salaam ili kuwasaidia watumishi kufanya kazi katika mazingira bora

habari picha na  VICTORIA STANSLAUS

No comments:

Post a Comment